google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Wahuni wa Mjini Wampiga Carlinhos | UDAKU SPECIAL

Wahuni wa Mjini Wampiga Carlinhos

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Carlos Carlinhos, amekutana na wahuni wa mtandaoni ambao wamemliza kwa kumuibia akaunti yake ya Instagram.


Carlinhos ambaye amejiunga na Yanga msimu huu, amekutana na balaa hilo ikiwa ni siku chache baada ya kuanza kuonesha cheche zake ndani ya Ligi Kuu Bara.

Dismas Ten ambaye yupo katika Kitengo cha IT ndani ya Yanga, ameposti taarifa iliyosema: “Mwizi, kibaka jambazi punde tu tunamtia mkononi, lakini kwa sasa unaweza kumfollow huyu mwamba kupitia @officialcarlinhos sasa hivi ili twende sambamba..! @officialcarlinhos imewekwa ulinzi wa kutosha.”

Ishu za watu mbalimbali kuibiwa akaunti zao mtandaoni imekuwa endelevu ambapo wapo wanaofanikiwa kuzikomboa na wengine kuzipoteza kabisa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad