Wakili Gwajima amtumia ujumbe Rais Mstaafu Kikwete

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Aliye kuwa Mgombea Ubunge Jimbo la kawe kura za maoni Chama Cha Mapinduzi   CCM ,ADVOCATE Methusela Gwajima   ,Katika ukurasa wake wa Twitter ameandika akimtakia heri ya   siku ya kuzaliwa Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, Gwajima ni kada wa CCM pia ni wakili wa kujitegemea.

"Rafiki yangu! Wewe umekuwa mtu mwema sana ktk maisha yangu  ! Umekuwa rafiki wa kweli, mkarimu,  mnyenyekevu na mwepesi wa kufika hata nyumbani kwangu pindi ninapopata matatizo  ! Hivi kweli mtu wa namna hii, kwa nini mimi ADVOCATE GWAJIMA , nisikutakie Happy birthday" ameandika Gwajima

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad