google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Waliokamatwa Kwa Mauaji ya Kada wa CCM Njombe Wakiri Kutenda Kosa | UDAKU SPECIAL

Waliokamatwa Kwa Mauaji ya Kada wa CCM Njombe Wakiri Kutenda Kosa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


WATU wanne ambao wametiwa mbaroni kutokana na mauaji ya kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Njombe, Emmanuel Mlelwa, wamedaiwa kukiri kutenda mauaji hayo  kwa mujibu wa upelelezi wa polisi.

Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka,  na kusainiwa na Mkurugenzi wa Mashtaka, imewataja watu hao kuwa ni Thadei Walter Mwanyika, George Sanga, Optatus Nkwera na Goodluck Oygen Mfuse. 




-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad