Wananchi wa Ufaransa wapoteza imani na Macron

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Imani ya umma kwa Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Waziri Mkuu Jean Castex inapungua pole pole.

Kulingana na wastani wa Septemba wa tafiti 7 tofauti za uaminifu, imani kwa Rais Emmanuel Macron, ambayo ilikuwa karibu asilimia 41 mnamo Agosti, ilishuka kwa alama 2.4 hadi asilimia 38.7 mwezi uliopita.


Kwa upande mwingine, umaarufu wa Waziri Mkuu Jean Castex umepungua kutoka asilimia 49.4 mnamo Julai wakati alipoteuliwa, wakati idadi ya wale wanaofikiria vyema juu yake ilipokuwa kubwa imepungua kwa alama 7.11 hadi asilimia 42.29 mnamo Septemba.


Utafiti uliofanywa nchini humo mwezi uliopita umebaini kuwa asilimia 65 ya watu wa Ufaransa hawaiamini serikali kupambana na janga linaloukumba ulimwengu kwa sasa.


Asilimia 45 ya wahojiwa wamesema kuwa serikali haikuchukua hatua za kutosha dhidi ya janga la corona.Imani ya umma kwa Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Waziri Mkuu Jean Castex inapungua pole pole.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad