Wazazi Chukueni Hili..Umri wa Kubalehe Watoto Umebadilika Siku Hizi, Chris Mauki Afunguka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Elimu ya kimahusiano inaanzia kwa mtoto mwenyewe kujitambua na bahati mbaya wazazi wanakuwa waoga kuwafundisha watoto wao hivyo inabidi wamtumie Shangazi kuongea na watoto wao. Wazazi wengi wanafikiri kwamba ule umri wa balehe uko vilevile kama zamani mpaka leo wakati tafiti zinasema mambo yamebadilika kuanzia mwaka 2000 umri wa balehe umeshuka almost 4 years chini, zamani ilikuwa miaka 15 au 16 umri wa balehe lakini sasa balehe inawakuta wakiwa mpaka na miaka 9.

Watoto wengi wanapata elimu ya mahusiano na kujitambua wakati wapo shuleni wakati kikawaida elimu hii ilitakiwa kuanzia nyumbani kisha shuleni" @chrismauki_ 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad