AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi, ameruhusiwa kutoka katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu baada ya kupata ajali jana, Oktoba 14, 2020.
Ajali hiyo ilitokea eneo la Kihonda, Manispaa ya Morogoro katika barabara kuu ya Dodoma-Morogoro, chanzo kikidaiwa kuwa ni dereva wa Bajaj kuchomekea mbele ya gari la waziri huyo ghafla.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK