Waziri Kabudi Aruhusiwa Kutoka Hospitali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi, ameruhusiwa kutoka katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu baada ya kupata ajali jana, Oktoba 14, 2020.

Ajali hiyo ilitokea eneo la Kihonda, Manispaa ya Morogoro katika barabara kuu ya Dodoma-Morogoro, chanzo  kikidaiwa kuwa ni dereva wa Bajaj kuchomekea mbele ya gari la waziri huyo ghafla.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad