Waziri wa Afya wa Ujerumani akutwa na virusi vya corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Waziri wa Afya wa Ujerumani, Jens Spahn amethibitishwa kukutwa na #CoronaVirus na tayari ameshajitenga huku watu aliokutana nao wakijulishwa kuhusu hali yake

Spahn ni mmoja kati ya wanasiasa wakubwa wa Ujerumani kukutwa na Virusi hivyo. Uwiano wa maambukizi ya #COVID19 umefikia watu 50 kati ya 100,000


Ujerumani imerekodi visa 11,287 ndani ya saa 24 zilizopita na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 391,355 na vifo 9,999 hadi sasa


Idadi ya visa hivyo ni kubwa kurekodiwa tangu kuingia kwa maambukizi nchini humo ambapo kwa wiki za hivi karibuni nchi hiyo imeaza kurekodi maambukizi mapya kwa kasi

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad