Wcb Wakimbiza Wasanii Youtub

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Takwimu zilizotolewa na matandao wa YouTube zinazohusisha channel za wanamuziki nchini Tanzania zilizotazamwa kwa wingi mwezi Septemba zimewaweka kileleni wasanii wa lebo ya WCB (Wasafi Classic Baby).


 


Katika kinyan’ganyiro hicho wasanii watano wa WCB wameingia 10 bora huku nafasi ya kwanza mpaka ya nne ikishikiliwa na wasanii hao.

Nasib Abdul ‘Diamond Platinumz’ ameshika nafasi ya kwanza channel yake kutazamwa na watu milioni 27.2, Zuchu ameshika nafasi ya pili channel yake ikitazamwa na watu milioni 19.5, Ray Vanny amekamata nafasi ya tatu channel yake ikitazamwa na watu milioni 15.6.



Wasanii wengine wa WCB walioingia katika 10 bora ni Mbosso aliyeshika nafasi ya tano channel yake ikitazamwa na watu milioni 7.6 huku Lavalava akishika nafasi ya saba kwa channel yake kutazamwa na watu milioni 4.2 na kufanya listi ya wasanii WCB kufikia tano.

Aidha, wakali wengine watano bongo walioingia 10 bora ni Harmonize (4), Alikiba(6), Aslay(8), Nandy(9) na Jux(10).


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad