AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwigizaji Wema Sepetu amechaguliwa kuwania Tuzo za Hollywood And African Prestigious Awards (HAPAWARDS) za nchini Marekani. Wema anawania tuzo ya 'Mwigizaji bora wa kike anayeongoza katika Tamthilia zinzoonekana kwenye Tv za Kiafrika'
Tuzo hizo ambazo zinafanyika kwa msimu wa nne sasa huwa zinaangazia watu waliofanya vizuri kwenye muziki, filamu, biashara, teknolojia na sekta zingine ambapo mwaka huu kilele chake kitakuwa, Oktoba 18.
Mbali na Wema Sepetu kuwania Tuzo hizo, Mwanamama Zari The Boss Lady, anatarajiwa kunogesha usiku huo. #Zari atakuwa mshereheshaji mdogo (Co host) wa tuzo hizo ambazo zitaonekana mubashara (live) kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK