Wolper: Acha Nionekane Chizi Kwa Rich Mitindo!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


MALKIA wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper Massawe, amesema kuwa, yupo tayari aonekane chizi, kwani amedata kinoma kwenye penzi la Rich Mitindo.

Wolper ameiambia IJUMAA SHOWBIZ kuwa, watu wengi wanamuona kama chizi kwenye penzi hilo, kwani amejitosa moja kwa moja huku akiwa haambiliki wala hasikii la mtu.


“Acha waniite chizi, lakini ukweli ni kwamba, sasa hivi nimenasa kwenye huba la kweli nililolitafuta siku nyingi sana na sikuwahi kulipata,” anasema Wolper ambaye huko nyuma, hakuweza kudumu kwenye penzi kama ilivyo sasa kwa Rich Mitindo

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad