AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeifanyia mabadiliko katika mchezo namba 61 wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania msimu wa 2020/2021 kati ya Young Africans SC na Simba SC uliokuwa uchezwe Oktoba 18, 2020. Sasa utachezwa Novemba 7, 2020 saa 11:00 jioni kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK