Aida Khenan Amtaka Mbowe Kubadili Msimamo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mbunge Mteule wa Nkasi kwa tiketi ya CHADEMA Aida Khenan amewaomba viongozi wake waangalie upya msimamo wa kutotambua ushindi wa Wabunge na Madiwani kutokana na hitilafu za Uchaguzi Mkuu.


Aida ameshikilia msimamo wake wa kuwasikiliza na kuwasimamia wananchi hivyo hawezi kukubali kuacha Ubunge ili kujiunga na wenzie katika madai yao.


Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Tanzania hakuna Mbunge binafsi, Mbunge ni wa Chama hivyo ni lazima afuate misimamo ya Chama na kusisitiza kuwa watachukua hatua zaidi wakikaa kikao cha viongozi.


Aida pia alionekana kwenye sherehe za kumuapisha Rais John Magufuli, kwenye  Uwanja wa Jamhuri Dodoma.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad