AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Belle 9 amesema eneo hilo ambalo amepata ajali ni ngumu sana watu kusalimika ila yeye amefanikiwa kutoka salama ndiyo maana akaimba wimbo huo wa injili ili kumshukuru Mungu.
"Baada ya kupata ajali nilitumia muda mwingi kujitafakari ndani ya nafsi yangu, niliambiwa eneo nililopata ajali watu wengi huwa wanapotea kabisa, kwahiyo matokeo ya kuimba ule wimbo ni baada ya kutoka salama na kutoa shukrani, nimeujua ukubwa wa mungu na sasa hivi maisha yangu yamebadilika"
Belle 9, Bonge la Nyau na Lulu Diva walipata ajali ya gari maeneo ya Chalinze wakati wanatoka kwenye kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ilolo, Mkoani Iringa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK