Album ya Wizkid 'Made In Lagos' Imefanikiwa Kushika Number 2 Chat za Billboard

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 



Album ya Wizkid 'Made In Lagos' imefanikiwa kuchumpa hadi namba 2 kwenye chart za album bora duniani, Billboard World Albums Chart.

Album hiyo ilitoka Oktoba 29 mwaka huu ikiwa na jumla ya mikwaju 14 ya nguvu, huku mashavu yakitolewa kwa wasanii kama Burna Boy, H.E.R , Ella Mai, Skepta, Damian Marley na wengine.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad