AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Album ya Wizkid 'Made In Lagos' imefanikiwa kuchumpa hadi namba 2 kwenye chart za album bora duniani, Billboard World Albums Chart.
Album hiyo ilitoka Oktoba 29 mwaka huu ikiwa na jumla ya mikwaju 14 ya nguvu, huku mashavu yakitolewa kwa wasanii kama Burna Boy, H.E.R , Ella Mai, Skepta, Damian Marley na wengine.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK