Aliyeiibia TANESCO akamatwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mkoani Kagera (TAKUKURU), inatarajia kumfikisha mahakamani mfanyakazi wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO) Shamy Magheta, anayetuhumiwa kuomba rushwa ya shilingi 500,000 kutoka kwa mwananchi aliyemlaghai kuwa atampelekea huduma ya umeme.

 

Akizungumza na EATV Mkuu wa TAKUKURU mkoani Kagera, John Joseph, amesema kuwa mfanyakazi huyo wa TANESCO ambaye ni fundi, alitenda kosa hilo kati ya mwezi Machi na Aprili mwaka huu, katika kijiji cha Ruzinga kata Bugene wilayani Karagwe.


Joseph amesema kuwa mfanyakazi huyo alifanikiwa kuiba nguzo ya shirika hilo na kuipeleka kwa mwananchi huyo na baadaye TANESCO waligundua uwepo wa nguzo kinyume cha taratibu na kutoa taarifa TAKUKURU ambao walianza uchunguzi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad