Baada ya Collabo na Harmonize, Nandy amkamata na Alikiba ‘NIBAKISHIE’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Miongoni mwa wasanii waliofanya vizuri kwa mwaka 2020 ni Nandy ‘The African Princess’  kwa sababu ya nyimbo zake kufanya ku-trend kwenye ‘industry’, chart za BongoFleva, mitandaoni na madili ambayo ameyapata.



Mbali na hilo pia siku za hivi karibu amekuwa akifanya collabo na wasanii wakubwa Tanzania ikiwemo collabo yake na Harmonize na sasa maetuleta ngoma mpya akiwa na Alikiba nibakishie.

Ngoma hiyo bado haijaiachia kwenye mtandao wake wa Youtube ameeleza kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa ataanza kuiachia kupitia Boomplay.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad