Balozi wa Tanzania aitembelea kambi ya Simba nchini Nigeria

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Benson Bana ametembelea kambi ya Simba jijini Abuja na kupewa jezi ya Simba itakayotumika Kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. 

Simba Novemba 29 itamenyana na Plateau United mchezo wa awali wa Ligi ya Mabingwa Afrika

Kiongozi huyo amesema kuwa ana imani ya kuona timu ya Simba ikipata matokeo chanya Kwenye mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

Mratibu wa Simba, Abbas Ally amesema kuwa maandalizi yapo sawa na wachezaji wapo tayari kwa mchezo huo kabla ya ule wa marudio utakaochezwa Dar.

 


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad