Bavicha: Mdee, Wenzake Wasaliti Waadhibiwe – Video

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


MWENYEKITI wa Baraza la Vijana Chadema (Bavicha) Taifa, John Pambalu, amesema, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) walishatoa msimamo kuhusu uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020, kutokuwa huru na haki lakini wakatokea wanawake 19 wakaenda bungeni kuapishwa.

Pambalu amesema: “Ziko adhabu nyingi za kuchukuliwa kwa hao 19, ikiwa ni pamoja na kuvuliwa nyadhifa zao, kunyang’anywa uanachama. Dhambi ya usaliti ni dhambi mbaya. Hatutaki kushinikiza kamati kuu ichukue hatua gani lakini hatua kali zichukuliwe ikiwemo kuwafukuza uanachama.”

“Bila kujali nafasi zao au wamefanya nini kwenye chama, lazima hatua za kinidhamu zichukuliwe kwa kitendo hiki. Sababu taasisi hazijengwi na uwepo wa rasilimali tu bali nidhamu pia.”


VIDEO:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad