AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu mkurugenzi mtendaji wa Jamii Forums, Maxence Melo kifungo cha nje cha mwaka mmoja na kutokufanya kosa lolote la kijinai baada ya kupatikana na hatia ya kuzuia askari kutekeleza majukumu yao.
Pia, mahakama hiyo imemuachia huru Micke Mushi baada ya upande wa mashtaka kushindwa kudhibitisha mashtaka dhidi yake.
Hukumu hiyo umetolewa leo Jumanne Novemba 17, 2020 na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Huruma Shaidi, wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili ya kusomwa hukumu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK