AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mgombea Uspika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la 12 Baada ya kupata kura za NDIO asilimia 99.7%, ambapo kati ya kura zote zilizopigwa, kura ya HAPANA ilikuwa moja
Ndugai aliliongoza bunge hilo akiwa spika kwa kipindi cha miaka mitano, ambapo hii leo akmekitetea kiti chake kwa ajili ya kukitumikia kwa miaka mitano mingine.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK