AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chris Brown ana mawazo mazuri ambayo yataleta tija kwa wasanii, ameamua kuwashauri Netflix.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Chris Brown amewaomba Netflix kuongeza na video za muziki kwenye platform yao ili kuwasadia wasanii katika kutanua wigo wa kazi zao kuonekana.
Una maoni gani kuhusu ushauri huu au wazo hili la Chris Brown? Tuachie comment yako.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK