google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Chriss Brown Awapa Wazo Netflix, Awashauri Kupandisha Video za Wasanii | UDAKU SPECIAL

Chriss Brown Awapa Wazo Netflix, Awashauri Kupandisha Video za Wasanii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Chris Brown ana mawazo mazuri ambayo yataleta tija kwa wasanii, ameamua kuwashauri Netflix.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Chris Brown amewaomba Netflix kuongeza na video za muziki kwenye platform yao ili kuwasadia wasanii katika kutanua wigo wa kazi zao kuonekana.

Una maoni gani kuhusu ushauri huu au wazo hili la Chris Brown? Tuachie comment yako.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad