AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Prof Ibrahim Lipumba amesema kutokana na Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28 ulivyoendeshwa, CUF haitashiriki Uchaguzi wowote na badala yake itajikita katika harakati za kudai #KatibaMpya ili Tume Huru ya Uchaguzi ipatikane
Pia amesema, "CUF tunawaomba Watanzania wote wapenda haki kuungana na sisi katika ibada Alhamisi, ambapo tutafunga kwa kutokula mchana na tufanye dua kila mmoja kwa imani yake kuomba hukumu ya #Haki kutokana na kile kilichofanyika"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK