Daktari aanika ukweli mfupa wa kichwa kuwekwa tumboni (+video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Inawezekana kwenye mitandao umekutana na video ya kijana Mtanzania aliyesema kuna sehemu ndogo ya fuvu la kichwa chake imewekwa tumboni kwake wakati akipata matibabu katika hospital mifupa MOI Dar es salaam wakati akihojiwa na Times Digital.


AyoTV na millardayo.com zimefika Hospitali ya Muhimbili kitengo cha MOI ili kuufahamu ukweli na undani wake ambapo tumempata Daktari Bingwa ambaye anafahamu kuhusu Mgonjwa huyo ambapo amesema hapo alipo Mgonjwahuduma bado kwani atatakiwa kurudi Hospitali kwa matibabu zaidi

VIDEO:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad