Dereva Taxi Arudisha Milioni 800 kwa Abiria

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kuna hii ambayo imetokea Uturuki ambapo Dereva teksi huko Istanbul, amemrudishia abiria aliyesahau Euro 300,000 (zaidi ya Sh milioni 800 za Kitanzania) alizokuwa amezisahau katika gari lake.


Dereva teksi huyo, Olgaç alimpakia abiria huyo wa kigeni kutoka uwanja wa ndege wa Istanbul na kumpeleka hotelini.


Wakati akiondoka ndipo alipoona begi katika kiti cha nyuma na kugundua kuwa lilisahauliwa na abiria yule, Dereva Olgaç akaona kuwa kulikuwa na hela katika begi hilo.


Aliamua kupiga simu kwenye hoteli aliyomuacha abiria yule akawasiliana naye na kumpelekea begi lililokuwa na Euro 300,000.


Ni nadra sana kuona dereva mwaminifu kama huyo, hasa katika Jiji kubwa kama Istanbul, watu wengi wameshangazwa na kufurahishwa na jambo hilo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad