Diamond Platnumz athibitisha collabo yake na G Nako, Mashine yetu ikitoka watatapika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa WCB n Wasafi media kwa ujumla Diamond Platnumz amethibitisha kuwa na collabo na G Nako kutoka kundi la Weusi.




Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond amethibitisha hilo baada ya G Nako kuweka Comment yake kwenye Post ya Diamond ambayo alipost show yake ya Malawi ambapo watu waliohudhuria walikuwa wakiitikia ngoma za Diamond kwa Kiswahili na G Nako aliandika kuwa:


“Malawi wanamwagika Kiswahili tupo vizuri”


Baada ya muda Diamond aliirudia Cooment hiyo ya G Nako n akujibu kuwa


“Nawaza ile mashine yetu ikitoka watakavyotapika huku”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad