AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge mteule wa Mbeya Mjini (CCM), Dk Tulia Ackson amesema hajachukua fomu ya kuwania uspika wa Bunge la 12 ili apate nafasi ya kuwatumia wananchi waliomchagua.
Badala yake, Dk Tulia ambaye katika Bunge la 11 alikuwa naibu spika, amechukua fomu kuwania tena nafasi hiyo.
Dk Tulia ameeleza hayo leo Jumanne Novemba 3, 2020 mjini Dodoma baada ya kuchukua fomu katika ofisi za CCM makao makuu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK