Dkt. Tulia Ashinda Unaibu Spika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mbunge wa Mbeya Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Tulia Ackson amechaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge la 12 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (2020-2025) baada leo Alhamisi, Novemba 12, 2020 Bungeni jijini Dodoma.

Dkt. Tulia ambaye alikuwa mgombea pekee wa Unaibu Spika, amepitishwa na bunge hilo baada kushinda kwa kupata kura za NDIYO 350 kati ya kura 354 zilizopigwa huku kura 4 zikiwa za HAPANA ambapo tayari Spika Job Ndugai amemuapisha Dkt. Tulia kuanza majukumu yake.

Akizungumza baada ya kuchaguliwa, Dkt. Tulia amesema; “Asanteni sana kwa kura nyingi mlizonipa, wote tungeweza kuwa kwenye nafasi hii ambayo mimi mmeniheshimu siyo kwamba mimi ni bora lakini ni wazi mimi mmenitanguliza mbele yenu na nitajitahidi kuwa wa mfano huko mbele mlikonitanguliza.”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Bi Khadijah, U deserve it.
    congratulation.

    Wana Mbeya mmeleta Mama wa Shoka anae jiongeza.

    Wasanii wanalielewa na kulikubali hilo

    ReplyDelete

Top Post Ad