Ex wa Aunt Aibua Mambo Mtandaoni "Aunty Anapenda Sana Kutawala Wanaume"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



HAYA mambo yakuachana halafu mnaanza kuongeleana vibaya mtandaoni si ushamba huu? Haya buana mapema wiki hii aliyekuwa mpenzi (EX) wa msanii wa filamu nchini Aunt Ezekiel, Alfo Alfo ameonekana kumkandia bidada kuwa hafai.

Alfo aliulizwa na shabiki mmoja huko mtandaoni kuwa kwanini aliachana na Aunt, ambapo alijibu kuwa sababu zipo nyingi ila moja ni kwamba mrembo huyo alikuwa anapenda sana kuwatawala wanaume lakini kwake haikuwezekana kwa hiyo ndio maana wakaachana.


“ Aunt like to control men, me Alfo no possible,” aliandika Alfo kwa kimombo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad