Familia: Mazishi ya Ginimbi hakuna sherehe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Familia ya bilionea wa Zimbabwe, Kadungure Ginimbi aliyefariki siku chache zilizopita imesema hakutakuwa na sherehe kwenye mazishi yake.

Mtandao wa Zimbabwe Cronicles umeripoti kuwa mwili wa Ginimbi utawasili nyumbani kwake alfajiri ya leo Jumamosi.


Kulingana na mtandao huo ndugu yake, Clement Kadungure ambaye alinukuliwa akisema kwamba, kutakuwa na ibada ya wafu ambapo watu wa karibu wa marehemu watazungumza.


Mwili wake baadaye utazikwa nyumbani kwake na sio ndani ya nyumba yake kama inavyoarifiwa na baadhi ya watu.


Kwa mujibu families hiyo, Ginimbi atazikwa kulingana na tamaduni za jamii yake.


Pia imekanusha madai kwamba kutakuwa na sherehe ya kuvaa mavazi meupe akisisitiza kwamba yatakuwa mazishi na sio sherehe na kwamba wanaotaka kuvaa mavazi hayo watafanya hivyo kwa hiari yao.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad