Forbes waitaja Serengeti kama kivutio cha lazima kutembelea 2021

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Jarida la Forbes la nchini Marekani, limeitaja Serengeti kuwa kivutio cha pili kuvutia kutembelewa na watalii zaidi kwa mwaka 2021.


Serengeti imetajwa kuwa na uhamiaji mkubwa zaidi wa wanyama duniani “largest terrestrial mammal migration in the world,” ambayo imeifanya Serengeti kuwa moja kati ya maajabu saba ya Asili Afrika.

Pia, ni sehemu ambayo mtalii anabahatika kuona aina mbalimbali za wanyama kwa kipindi kifupi.


Kivutio kilichoshika nafasi ya kwanza ni Kisiwa cha Maldives kilichopo bara la Asia. Maldives imewekwa katika orodha hiyo kutokana na kuwa na muonekano mzuri na maji yaliyo safi. Aidha, kimetajwa kuwa sehemu nzuri ya kutembelewa na wapenzi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad