Fuvu la binadamu lenye miaka Milioni 2 lafukuliwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Watafiti kutoka Australia wamesema wamegundua fuvu la binadamu lenye miaka Milioni mbili nchini Afrika Kusini ambalo litatoa ufahamu zaidi kuhusu mabadiliko ya binadamu.


Fuvu hilo ni la mwanaume linaloitwa Paranthropus robustus, ambalo ni spishi ya ‘binamu’ wa Homo erectus, spishi inayodhaniwa kuwa kizazi cha moja kwa moja cha mababu wa binadamu wa sasa.

 

Spishi hizo mbili ziliishi katika wakati mmoja, laini Paranthropus robustus walitangulia kufa.


Fuvu hili lilikutwa mita chache kutoka sehemu ambayo fuvu la mtoto jamii ya Homo erectus la miaka kama hiyo liligunduliwa mwaka 2015

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad