GEITA: Akamatwa na Polisi baada ya kumtoa mimba na kumsababishia kifo mwanamke wa miaka 40

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Jeshi la polisi mkoa wa Geita, linamshikilia Vestina Michael (44), mkazi wa Buseresere wilayani Chato kwa tuhuma za kumtoa mimba na kumsababisha kifo Mariam Msalaba (40), ambaye alipoteza maisha muda mfupi baada ya kutolewa mimba nyumbani kwa mtuhumiwa.


Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Geita Henry Maibambe, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kitendo hicho cha kikatili kimetokea nyumbani kwa mtuhumiwa majira ya usiku.


“Jeshi la Polisi tunamshikilia Vestina Michael, kwamba siku ya Oktoba 31 mwaka huu marehemu alifia nyumbani kwake na ndugu wa marehemu wakaleta malalamiko kwamba, ndugu yao amefia kwa mtuhumiwa wakati akimtoa mimba, hivyo tunamshikilia huyo mtuhumiwa”, amesema Kamanda Mwaibambe.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad