Huyu Ndio Mtu Aliyekaa na RISASI Kichwani Kwa Muda Mrefu Kuwahi Kutokea Duniani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


William Lawlis Pace aliyezaliwa Februari 27, 1909 alipigwa risasi kwa bahati mbaya Oktoba 1917, akiwa na umri wa miaka 8

-

Risasi hiyo ilipelekea apoteze uwezo wa kusikia kwa sikio la kushoto, na uwezo wa kuona kwa jicho lake la kulia

-

Mbali na ulemavu huo aliishi kawaida, alifariki Aprili 23, 2012 akiwa na miaka 103. Risasi ilikaa kichwani mwake kwa miaka 94

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad