Jamaa Anayetuhumiwa Kumkata Mkono Mke Wake Afikishwa Mahakamani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Ombeni Mollel anayetuhumiwa kumkata mkono mke wake Mwl.Veronica Kidemi kwa kile kilichoelezwa kuwa ni wivu wa kimapenzi amepandishwa katika mahakama ya wilaya Arumeru jijini Arusha na kusomewa shitaka la kujaribu kuua jambo  ambalo ni kinyume cha sheria ya makosa ya jinai   kifungu cha 211 (a) kilichofanyiwa marekebisho mwaka 2002.

Kesi hiyo CI 19 2020 iliyosikilizwa mbele ya hakimu wa mahakama hiyo Chrisanta Chitanda imeahirishwa mpaka November 18 mwaka huu kwa kile kilichoelezwa upelelezi haujakamilika

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad