Jay Z aibukia Kwenye Biashara ya Bangi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Moja ya kuifahamu leo November 26, 2020 ni Mwanamuziki maarufu nchini Marekani Jay-Z ametajwa kama ‘Afisa Mkuu mpya wa kampuni kubwa mpya ya bangi ya TPCO.


Kwa Marekani bangi ni halali katika majimbo kadhaa ikiwemo California, ambapo sasa ni biashara kubwa.


Jay-Z ataongoza mikakati ya kampuni ya TPCO na kuhamasisha wasanii wengine mashuhuri kukuza biashara hiyo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad