google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Kauli ya Zitto Kuhusu Serikali ya Umoja wa Kitaifa Z’bar | UDAKU SPECIAL

Kauli ya Zitto Kuhusu Serikali ya Umoja wa Kitaifa Z’bar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



KIONGOZI Mkuu wa ACT-Wazalendo amesema, hadi sasa chama hicho hakijafanya uamuzi kuhusu ushiriki wake katika uundwaji wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar.

 

Zitto amesema uamuzi wa mwisho kuhusu suala hilo utatolewa katika vikao vya chama, kikiwemo cha Kamati Kuu  ambayo itaketi hivi karibuni.

 

Siku chache zilizopita, Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi alisema ameacha nafasi za mawaziri kwa ajili ya ACT-Wazalendo, akieleza alipeleka barua kwa chama hicho ili kiwasilishe majina ya watu wake.

 

Zitto amesema chama chake hakikufanya makosa kuipokea barua hiyo, lakini kupokelewa kwake haimaanishi wamekubaliana na matakwa ya Mwinyi ya kukitaka chama kiwasilishe majina.

 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad