Kenyatta: Tumechangua Maambukuzi ya Corona Kuongezeka Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



KATIKA hotuba yake kwa Taifa la Kenya, Rais Uhuru Kenyatta amekubali kuwa mikutano ya kisiasa iliyoshamiri katika mwezi uliopita ilichangia ueneaji wa Virusi hivyo.


 

Mwezi Oktoba, viongozi wengi walifanya mikutano ya hadhara katika sehemu mbalimbali za nchi hiyo bila kujali raia waliokuwa wakiwahutubia walikuwa wakigusana na wengi hawakuvaa barakoa.


 


Kenyatta amesema, “Ninawaomba Viongozi tuongoze kwa kuwa mstari wa mbele. Tusiwe wa kusema na kutenda tofauti. Ni jukumu letu kusema na kutenda yale ambayo tunawaambia wananchi wafuate.”


 


Katika mwezi wa Oktoba, maambukizi ya Virusi hivyo yalifikia 15,000 na vifo takriban 300. Wataalamu wa Afya wanaamini hii ilichangiwa na jinsi baadhi ya kanuni za kupambana na Corona Virus zilivyolegezwa.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad