Kimenuka...Mbowe, Wenzake Mbaroni Tuhuma Kupanga Maandamano

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



KAMANDA wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, ACP Lazaro Mambosasa amesema wanawashikilia watu kadhaa wakiwemo viongozi wanne wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa tuhuma za kupanga maandamano.


Viongozi wa Chadema wanaowashikilia ni pamoja na mwenyekiti wa chama hicho taifa, Freeman Mbowe, Godbless Lema, Isaya Mwita (aliyekuwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam) na Boniface Jacob aliyekuwa Meya wa Ubungo na mgombea ubunge wa Jimbo la Ubungo.

Amesema wanawashikilia viongozi hao kwa kuwa wanahatarisha usalama wa raia na mali zao kwa kuwa

wamepanga kuanza maandamano kitaifa yasiyokuwa na kikomo kuanzia Novemba 2, mwaka huu kwa kuwatumia vijana kuchoma moto miundominu na vituo vya mafuta

Aidha, jeshi hilo linaendelea kuwasaka watu wanaowashawishi vijana kushiriki maandamano ambayo polisi wamesema ni ya vurugu kwa kuwa wanaoshawishiwa ni vijana wavuta bangi. Wengine wanaosakwa ni viongozi wa chama cha ACT Wazalendo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Na Kigulu pia mwenye ulimi mchafu
    mkosa adabu na maadili akiwemo mwenye
    chama mfukoni katika Flashi.

    Ndugu wana Habari nyinyi mna mchango
    mkubwa katika kuhabarisha umma Umuhimu
    wa Amani na hasara za kuhamasika katika uvunjifu wake.

    Wana Usalama msiwaonee muhali wala huruma ni zao ni ovu tena ovu sana.

    tafuta Mzito na Nonda na Sheibu wenzao
    walikuwakatika hatua za mwisho katika
    mlolongo wa vilipukaji na kundi la zitwo kule visiwani.

    Hawa wanataka muamalawa mkono wa chuma

    Endeleeni na Hongereni wana Ulinzi na
    Usalama na Pongezi kwa watoa habari za
    hawa mahaini wa taifa.

    ReplyDelete
  2. Na Kigulu pia mwenye ulimi mchafu
    mkosa adabu na maadili akiwemo mwenye
    chama mfukoni katika Flashi.

    Ndugu wana Habari nyinyi mna mchango
    mkubwa katika kuhabarisha umma Umuhimu
    wa Amani na hasara za kuhamasika katika uvunjifu wake.

    Wana Usalama msiwaonee muhali wala huruma ni zao ni ovu tena ovu sana.

    tafuta Mzito na Nonda na Sheibu wenzao
    walikuwakatika hatua za mwisho katika
    mlolongo wa vilipukaji na kundi la zitwo kule visiwani.

    Hawa wanataka muamalawa mkono wa chuma

    Endeleeni na Hongereni wana Ulinzi na
    Usalama na Pongezi kwa watoa habari za
    hawa mahaini wa taifa.

    Amani yetu ni Jukumu la Kila Mtanzania

    ReplyDelete

Top Post Ad