Kituo Cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Chahamishiwa Ofisi ya Rais ili Kuboresha Utendaji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Rais Magufuli amehamisha Kituo cha Uwekezaji #Tanzania (TIC) kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu kwenda Ofisi ya Rais ili kuboresha utendaji kazi wa kituo hicho ikiwemo kupunguza urasimu kwa wawekezaji

 

Amesema anataka Mwekezaji mwenye fedha zake akija apate kibali ndani ya siku 14 hivyo amekihamisha ili wanaokwamisha akapambane nao yeye mwenyewe

 

Akiwa Bungeni Dodoma amesema, "Sekta binafsi itapewa umuhimu wa pekee sana. Watanzania ni matajiri lakini baadhi yao wanasita kuwekeza hapa nchini kwa kuogopa kusumbuliwa na maswali yasiyo na msingi. Tunahitaji mabilionea wengi wa Kitanzania"

 

Ameongeza “Tutapunguza foleni Barabarani, tutapanua Viwanja Vya Ndege 11, tutaboresha upatikanaji wa huduma za umeme, tutafikisha umeme kwenye vijiji vyote vilivyobaki.Upande wa Afya tutahakikisha Watanzania wote wanakuwa na Bima ya Afya na kuongeza Hospitali"

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad