AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
HAYAWI hayawi sasa yamekuwa, baada yakufanya kiki kwa muda mrefu sasa unaambiwa wameamua kufanya kweli eti. Mtoa udaku mmoja mtandaoni Juma Lokole hivi karibuni amejikuta akimwaga ubuyu hadharani na kusema kuwa Uchebe na Agness sasa hivi ni wapenzi kweli.
“ Uchebe na Agness mwanzo walikuwa wanafanya kiki na Agness alimlipa Uchebe shilingi Milioni 3.
Lakini baada ya muda wakaanza kutembea kweli kama mlikuwa hamjui mimi ndio nawaambia sasa hivi Uchebe na huyo dada ni wapenzi kweli na wanaishi wote Mkwajuni.” Alisema
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK