Machinga waungana kupinga maandamano ya CHADEMA, ACT Wazalendo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Machinga wa jijini Dar es Salaam wameungana na kutoa tamko la kupinga maandamano yaliyotangazwa na viongozi wa Chadema na ACT Wazalendo.


Wamachinga hao wamempongeza Rais Magufuli kwa ushindi katika uchaguzi mkuu na kusema watakuwa naye bega kwa bega kwani ni muokozi wa wanyonge.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hii ndiyo Tanzania na ndivyo tulivyo.
    Ustaarabu wetu na Upendo wetu ndiyo
    nguzo na Imani yetu.

    Huyu mhamiaji haramu arudishwe kwao baada ya kutumikia Adhabu kufuata makosa kama ilivyo ainishwa katika Sheria za Uhamiaji.

    Na Faru joni ashughulikiwe kama mchafuzi yeyote wa Amani na genge la
    telolisti wenzake wanao subiri kukamilishiwa upelelezi. atiwe nguvuni usiku huu na asylum seeker pia ajipange kwa ahirisho alilopataa kiswutu aendelee kupambana na hali yake bila dhamana tokana n hali halisi

    na uuwezo mkubwa wa kutoroka kwa njia za panya. mkakati huo anao na kumwaga
    manyanga kwa Faru Jiooni na salumwalim

    Ngoma walio nuiza kucheza, wataicheza wenyewe.

    Hakuna Maandamano ajili ya RUZUKU yake

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mdau, umewapa kitu na Boxi.
      Huyu mwenye chamaa mfuko katika
      flash yya 32 GB hajielewi.

      Na Huyu wa Ufipa alizowe Ulafi wa Kula Ruzuku . Kodi ya Jengo bado hajalipa. mwenye mjengo amekuwa mbogo kwao na Luku pia.

      Saccozi iko hatarini.

      Hongera Machinga kumtolea nje.

      Delete

Top Post Ad