Marekani: Bien Avunja Rekodi ya Obama Kwa Wingi wa Kura

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mgombea Urais wa Marekani, Joe Biden amevunja rekodi iliyoshikiliwa na aliyekuwa Rais wa Marekani Barack Obama kwa kupata kura milioni 70


Rais Barack Obama alipata kura 69,498,516 zilizoweza kumuweka madarakani mwaka 2008 baada ya kupata 52.93% ya kura zilizopigwa dhidi ya mpinzani wake


Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 Joe Biden amepata kura 70,375,835 ambayo ni 50.2% dhidi ya mpinzani wake, Donald Trump

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Biden / Magufuli hongereni sana.
    tunataka free medical insurance nchi nzima.

    ReplyDelete

Top Post Ad