Maskini..Mke wa Mwanamfalme, Meghan Markle Adhibitisha Ujauzito Wake Kuharibika...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


 Meghan Markle ambaye ni mke wa mwanamfalme wa Uingereza Harry, ameanika ukweli kwamba alipata tatizo la kuharibika kwa ujauzito mwezi Julai mwaka huu.


Kwenye andiko lake la uchungu lililochapishwa kwenye gazeti la The New York Times, Meghan ambaye ana mtoto wa mwaka mmoja na Prince Harry aitwaye Archie Harrison, alisema ujauzito wake uliharibika (miscarriage) mwezi Julai akiwa nyumbani kwake wakati akimbadilisha nepi mwanaye Archie.


Kwenye maelezo yake alisema pia alimshuhudia mumewe akiwa kwenye maumivu makali ya moyo kwa kumpoteza mtoto wa pili, akiwa pembeni ya kitanda wakati Meghan amelazwa hospitali.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad