Mbaroni Akituhumiwa Kuua Harusini, Kisa Zawadi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



KIJANA Changwa Sebeki (19) anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mara kwa tuhuma za kumuua Kegoka Mwikwabe (22) anayedaiwa kumuondoa kwenye harusi kwa kukosa zawadi.


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Danilel Shillah amesema tukio hilo limetokea Oktoba 31, ambapo mtuhumiwa alimshambulia kwa kumkata na panga hadi kusababisha kifo chake.


Sababu aliyoitaja ni kuwa katika harusi moja, marehemu alikuwa anasimamia vijana wanaocheza na binti kutoa zawadi lakini mtuhumiwa alicheza na alipoambiwa atoe zawadi kama ilivyo kwa taratibu za Kikurya, hakuweza kutoa hivyo akatolewa nje.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad