Mbowe na Wenzake Waachiwa kwa Dhamana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ni kati ya viongozi wa upinzani walioachiwa kwa dhamana leo Jumanne Novemba 3, 2020.


Wengine walioachiwa ni wajumbe wa kamati kuu ya Chadema,   Godbless Lema na Boniface Jacob ambao pamoja na Mbowe walikamatwa na polisi usiku wa kuamkia Novemba 2, 2020 wakiwa kwenye kikao. Zitto alikamatwa leo mchana alipokwenda kuwatembelea kina Mbowe polisi.


Wakili wa Chadema John Mallya amesema viongozi hao wameachiwa kwa dhamana na kutakiwa kuripoti polisi Novemba 5, 2020 saa 3 asubuhi.


Mallya amesema viongozi hao wameachiwa baada ya kujidhamini wenyewe na kutakiwa kutotoka nje ya mkoa wa Dar es Salaam na kuhakikisha wanaripoti kituoni hapo tarehe waliyopangiwa 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Inakuwaje..??
    Hawa Mahaini, Wachochezi wanapewa dhamana na kurudi kwenye Kitaa, huku
    mikono yao imeaa Damuza Watanzania..??

    Tumewasikia wakitangaza Hadharani nia
    yao ovu katika kampeni zao Dumavu zisizo kuwa na Sera. Na maJuzi kati
    baada ya matokeo kutangazwa. Macho kumhuzi akatangaza parawanja hatua inayofata. AU MNAWAONEA HAYA MAGAIDI
    HAWA NA GENGEE LAO..??

    Kumbukeni cheche Huzaa Moto.
    Hatulikubai hilo tuko mil 60 na hili
    genge halizidi watu kwa Idadi ya mkono

    SIMU ZA NA KOMPYUTA ZAO NANI ANAZO..?

    KWA HATARI YA USALAMAWAO NA WETU, HAWA NA WENZAO NI WA KUSWEKA NDANI. NA KAWAIDA YA MMOJA WAO HATO RIPOTI ATAJIPELEKA HOSPITALI KAMA KAWA.

    ReplyDelete

Top Post Ad