Meneja Sallam SK wa Lebo ya WCB Asema Wako Mbioni Kumtambulisha Msanii Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Lebo ya WCB inayoongozwa na @diamondplatnumz , kupitia kwa meneja wake @sallam_sk Jana ametangaza kumsaini msanii wao mpya.


Kupitia mkutano aliofanya na waandishi wa habari leo, Sallam SK ameweka wazi kuwa hivi karibuni wanatarajia kumsaini msanii wao mpya baada ya Zuchu kufanya vizuri.


Mpaka sasa lebo hiyo ina jumala ya wasanii sita ambao ni @diamondplatnumz , @rayvanny , @queendarleen_ , @mbosso_ , @iamlavalava na @officialzuchu


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad