AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lebo ya WCB inayoongozwa na @diamondplatnumz , kupitia kwa meneja wake @sallam_sk Jana ametangaza kumsaini msanii wao mpya.
Kupitia mkutano aliofanya na waandishi wa habari leo, Sallam SK ameweka wazi kuwa hivi karibuni wanatarajia kumsaini msanii wao mpya baada ya Zuchu kufanya vizuri.
Mpaka sasa lebo hiyo ina jumala ya wasanii sita ambao ni @diamondplatnumz , @rayvanny , @queendarleen_ , @mbosso_ , @iamlavalava na @officialzuchu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK