Mnyama Simba aunguruma Nigeria, akamilisha kazi aliyotumwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wawakilishi hao wa nchi kimataifa #simbasc imefanikiwa kuondoka na ushindi huo wa goli 1 – 0 dhidi ya wenyeji wao timu ya Plateau United mchezo uliyopigwa katika dimba la New Jos nchini Nigeria.

 

 
Kwa matokeo hayo sasa Bingwa huyo mtetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara anarejea nyumbani kujipanga kwaajili ya mchezo wa marudiano utakaopigwa katika uwanja wa Mkapa kati ya tarehe 4-9 mwezi Disemba 2020

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad