Msanii wa Muziki kutoka Nigeria Davido Amebadilisha jina lake (Username) katika Mtandao wa Instagram kutoka jina alilokuwa akilitumia mwanzo yaani davidoofficial na sasa anatumia @davido
@davido amefanikiwa kupata Username ya jina lake baada ya Kushindwa kutumia jina hilo kutokana na kutumiwa na mtu mwingine
HABARI HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
0 Comments