Msanii Harmonize Atupa Kijembe Kwa Wasanii wa Tanzania Waliokosa Kuwekwa Tuzo za Grammy

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Msanii @harmonize_tz amedai kuwa tuzo za Grammy hazihitaji kelele nyingi ili kuteuliwa kuwania.

Kauli ya #Harmonize inakuja mara baada ya wasanii wachache wa Muziki nchini, ambao ni Diamond Platnumz, Rayvanny na Zuchu kufanikiwa kuingia kwenye hatua ya kujadiliwa (Consideration) kwa ajili ya kuingia kuwania Tuzo za Grammy.


Hata hivyo wasanii hao hawakufanikiwa kuteuliwa kuwania. Maneno hayo ya #Harmonize yamepokelewa kwa hisia tofauti tofauti, ikielezwa kuwa huwenda ikawa ni kijembe kwa wakali hao.


Akizungumza hayo akitokea kwenye show yake ya Mtwara iliyofanyika wikiendi iliyomalizika, #KondeBoy ama #Jeshi kama anavyojiita kwa sasa, pia amesema, kwa mwaka huu amechaguliwa kuwania tuzo karibia zote isipokuwa Grammy pekee.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad