AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Winga wa Tanzania Saimon Msuva ameripotiwa kuwa amejiunga na klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco kwa mkataba wa miaka minne akitokea Difaa El Jadid ya nchini humo.
Wydad Casablanca walifika hatua ya nusu fainali klabu bingwa Afrika msimu huu, na walishika nafasi ya pili katika ligi kuu ya Morocco msimu huu ulioisha.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK